DIR Return Create A Forum - Home
---------------------------------------------------------
habari
HTML https://habari.createaforum.com
---------------------------------------------------------
*****************************************************
DIR Return to: Jukwaa la elimu Tanzania
*****************************************************
#Post#: 102--------------------------------------------------
ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA MAFUNZO MAALUMU
REKEBISHI HII
DIR By: mastory
Date: July 13, 2014, 10:24 am
---------------------------------------------------------
ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA MAFUNZO MAALUMU
REKEBISHI
(BRIDGING COURSE) YA UALIMU NGAZI YA STASHAHADA MASOMO YA
SAYANSI NA HISABATI KATIKA CHUO CHA UALIMU MONDULI
MWAKA WA MASOMO 2014/2015.
Wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga na Mafunzo haya
wanatakiwa kuripoti Chuo
cha Ualimu Monduli kuanzia tarehe
14/07/2014 hadi 15/07/2014.
MAELEKEZO MUHIMU
Wanafunzi wanatakiwa kufika chuoni wakiwa na mahitaji
yafuatayo:-
1. Vyeti halisi vya Baraza la Mitihani la Tanzania vya Kidato
cha NNE na SITA;
2. Sare ya Chuo (Shati/Blauzi nyeupe mikono
mirefu:Suruali/sketi: koti na tai rangi ya “dark blue”); na
3. Fedha za tahadhari chuoni na matumizi binafsi.
Usajili wa waliochaguliwa kujiunga na Mafunzo utafungwa terehe
18/07/2014 saa 12.00 jioni.
Soma majina kwenye attachment hapo chini
[attachment deleted by admin]
*****************************************************
Page 1 of 1