DIR Return Create A Forum - Home
---------------------------------------------------------
habari
HTML https://habari.createaforum.com
---------------------------------------------------------
*****************************************************
DIR Return to: Jukwaa la elimu Tanzania
*****************************************************
#Post#: 70--------------------------------------------------
Majina ya waliopangiwa vyuo vya ualimu cheti na stashahada
2014/2015
DIR By: stakeholder
Date: July 12, 2014, 4:05 am
---------------------------------------------------------
Tetesi zote zinajadiliwa hapa mpaka majina yakiwa tayari na
utayapata hapa hapa. Kwasasa jadili chochote kuhusiana na vyuo
vya ualimu, Je ni kweli ada imepanda? Ni shilingi ngapi kwa
mwaka? Wajuze rafiki zako habari hii kwa kubonyeza share hapo
chini kwenye facebook au twitter, au google plus.
#Post#: 95--------------------------------------------------
Re: Majina ya waliopangiwa vyuo vya ualimu cheti na stashahada
2014/2015
DIR By: m23
Date: July 13, 2014, 9:45 am
---------------------------------------------------------
Vipi majina bado ya vyuo vya ualimu bado wadau? tujuzane
#Post#: 108--------------------------------------------------
Re: Majina ya waliopangiwa vyuo vya ualimu cheti na stashahada
2014/2015
DIR By: stakeholder
Date: July 14, 2014, 3:21 am
---------------------------------------------------------
--- Quote from: m23 link ---
>
> Vipi majina bado ya vyuo vya ualimu bado wadau? tujuzane
>
--- End Quote ---
Yakiwa tayari utayaona hapa hapa kwani wanachama wenzio
watakujulisha
#Post#: 110--------------------------------------------------
Re: Majina ya waliopangiwa vyuo vya ualimu cheti na stashahada
2014/2015
DIR By: m23
Date: July 15, 2014, 9:38 am
---------------------------------------------------------
pamoja sana
#Post#: 128--------------------------------------------------
Re: Majina ya waliopangiwa vyuo vya ualimu cheti na stashahada
2014/2015
DIR By: Nadia
Date: July 17, 2014, 12:41 pm
---------------------------------------------------------
Walimu wetu hao. shule zetu hazina walimu wa kutosha mkishasoma
mje mtuteach.
*****************************************************
Page 1 of 1