DIR Return Create A Forum - Home
---------------------------------------------------------
habari
HTML https://habari.createaforum.com
---------------------------------------------------------
*****************************************************
DIR Return to: Makala Bora
*****************************************************
#Post#: 3399--------------------------------------------------
"Natengeneza pesa nyingi mtandaoni kuliko mshahara
nilikoajiriwa"
DIR By: stakeholder
Date: July 19, 2020, 2:23 am
---------------------------------------------------------
Habari za uzima, Leo napenda kushare na wewe huu ushuhuda wa
mwanadada Haphsa ambaye toka aijue biashara ya bitcoins sasa
anaendesha maisha yake kwa kutegemea pesa za mtandaoni na sio
mshahara anaopokea aliko ajiriwa
Mwanadaada haphsa ameisimulia chatguest kuwa Tangu alipoajiriwa
serikalini 2015 ameishi kwa kuhangaika sana kwakua mshahara
ulikuwa hautoshi ana makato mengi kwenye mshahara wake huo
yakiwemo makato ya bodi ya mkopo wa elimu ya juu ambao
alikopeshwa kipindi anasoma chuo.
Bi haphsa anasema alifurahia kula boom yani mkopo wa elimu ya
juu akiwa chuoni SUA Morogoro alikokuwa anasomea maendeleo ya
Jamii Vijijini lakini baada ya kuanza kukatwa makato ya
kurejesha mkopo huo alianza kuumia sana kwakua maisha kwake
yalikuwa machungu sana. Mshahara wake ulikuwa unaisha kabla ya
tarehe 5 yaani akipokea pesa tarehe 24 kufika tarehe 5 mwezi
mpya mshahara unakuwa umeisha kutokana na uchache wake na mambo
ya kufanya yakiwa mengi kama kusaidia ndugu waliomsomesha mpaka
sekondari na waliomsaidia pia chuo kwakua mkopo wa chuo hakupata
asilimia 100 alipata asilimia 80 hivyo alitegemea ndugu kupata
pesa za kuongezea kwenye Ada kama laki mbili kila mwaka.
Bi Haphsa aliendelea kuisimulia Chatguest kuwa siku moja aliona
mtu amepost maswala ya biashara ya bitcoin kwenye group la
whatsapp alimo kuwa amejiunga ndipo alipo vutiwa na kujaribu
kufuatilia zaidi.
"Nilimfuata inbox yule ndugu nikamuuliza maswali mengi
namshukuru alinipa ujuzi wote bila ya kuficha ndipo nilipoanza
kununua bitcoins na kuziuza kwa faida. Kwa mwezi natengeneza
zaidi ya laki nne kwa mtaji wa shilingi milioni moja. Nilianza
na mtaji wa sh elfu 50 tu nilinunua bitcoins za sh elfu 50
nikawa nasubiri bei ipande nauza ikishuka nanunua ikipanda nauza
mchezo ni huo mpaka leo hakuna siri nyingine zaidi kwenye
biashara hii ya bitcoins" Bi haphsa.
Bitcoin ni biashara yenye faida kubwa duniani watu wengi
wamepata utajiri kwa kufanya biashara ya bitcoins, Mnamo mwaka
2017 bitcoin moja ilikuwa inauzwa chini ya dola moja yaani chini
ya shilingi 2,315 za kitanzania lakini leo bitcoin moja ni
shilingi za kitanzania milioni 21 na kuendelea bei inabadilika
kila sekunde inapanda inashuka inapanda.
Aliyenunua bitcoin moja kwa sh 2300 mwaka 2017 leo anamiliki
bitcoin hiyo kwa shilingi milioni 21 miaka mitatu tu imepita
toka kuwekeza sh 2,315 unapata sh milioni 21 tena bila kufanya
kazi yoyote.
Bado bitcoin ni fursa kutokana na bei yake kushuka na kupanda
kama alivyosimulia mwana dada Haphsa unaweza nunua bei ikishuka
hadi milioni 19 ukauza bei ikipanda hadi milini 20 au 21 au za
zaidi. Bei ya bitcoin inapanda zaidi ilishawahi kufikia milioni
40. Mwaka huu inaweza kufikia milini 100 watalamu wa tathmini ya
ukuaji wa bitcoin wameandika makala kuhusu upandaji wa bei ya
bitcoin mwaka huu na miaka ijayo.
Kuanza biashara hii ni rahisi sana Jisajiri kwenye mtandao wa
www.jamiihuru.com/register ili upate elimu zaidi na kuanza
kununua bitcoin kwa usalama bila kutapeliwa na mtu na uziuze kwa
faida kubwa zaidi ili ukuze mtaji wako haraka. Unaweza pia
kujiunga kwenye group la biashara ya bitcoin whatsapp kwa
kubonyeza link hii
HTML https://chat.whatsapp.com/EWs5GLk4yzN6vOwpFAeDqQ
Mtumie rafiki makala hii anayetafuta ajira/kazi au biashara ya
kufanya Asihangaike tena bali aanze kufanya biashara ya bitcoin.
Pamoja tunaweza kutokomeza umaskini
*****************************************************
Page 1 of 1