URI:
   DIR Return Create A Forum - Home
       ---------------------------------------------------------
       habari
  HTML https://habari.createaforum.com
       ---------------------------------------------------------
       *****************************************************
   DIR Return to: Makala Bora
       *****************************************************
       #Post#: 3368--------------------------------------------------
       Ujue mtandao unaofanana na facebook ambao unalipa admins wa
       groups
   DIR By: stakeholder
       Date: June 10, 2017, 2:33 pm
       ---------------------------------------------------------
       Napenda nikushirikishe fulsa hii inayopatikana mtandaoni. Kuna
       mtandao unaitwa JAMAA mtandao huu unafanana kabisa na Facebook
       kizuri kilichopo kwenye mtandao wa JAMAA ni kwamba ukiunda group
       na ku-add members kwenye group lako unalipwa kila mwisho wa
       mwezi kulingana na idadi ya wanao-chat kwenye group lako.
       Hizi ndizo fulsa zinazopatikana kwenye intaneti. Ukiwa na group
       la watu 5000 nadhani utafungua ofisi kabisa mtaani kwako na
       utanunua kompyuta na simu nzuri kwa ajili ya kazi hiyo tu. Anza
       leo kuunda group lako uwe mkurugenzi wa group lako kila mwisho
       wa mwezi unapokea mshahara wako.
       Ukipata habari yoyote ile kama hii ipokee kisha ifanyie kazi kwa
       kufanya uchunguzi ili kesho upate cha kusema ambacho ni sahihi
       pindi ukikutana na JAMAA yako mtaani. Tumia dakika mbili ingia
       kwenye mtandao wa JAMAA kwa kubonyeza link hii
  HTML https://www.jamaaonline.com
       Au kama unasoma hapa kwa kutumia simu basi weka app ya JAMAA
       toka play store bonyeza link hii
  HTML https://play.google.com/store/apps/details?id=com.jamaa.tz
       Hakika utakuwa shuhuda kwa wengine.
       *****************************************************
       Page 1 of 1