DIR Return Create A Forum - Home
---------------------------------------------------------
habari
HTML https://habari.createaforum.com
---------------------------------------------------------
*****************************************************
DIR Return to: Makala Bora
*****************************************************
#Post#: 3333--------------------------------------------------
JE UNA MDOGO, NDUGU, RAFIKI AU MWANAO AMBAE BADO ANASOMA KIDATO
CHA 1-6,HABARI NJEMA NI HIZI AMBAZO
DIR By: promo1
Date: December 16, 2016, 1:34 pm
---------------------------------------------------------
kupitia tovuti yetu ya
www.idiscusacademy.com ni tovuti/FORUM pekee ambayo
inawakutanisha wanafunzi toka sehemu/nchi tofauti duniani
kupitia group letu la facebook ambalo lina WATUMIAJI
90,726,watumiaji hawa ni wanafunzi na walimu ambao wanatoka kila
kona ya dunia ,,kupitia forum ambayo tumeiansisha sasa tuna
lengo la kumpa mwanafunzi uhuru kwa ajili ya kuweza kujadili
masuala tofauti ya kielimu kwa uhuru mkubwa kwa ajili ya kuweza
kufanya majadiliano tofauti ambayo yanahusiana na ELIMU,faida
kadhaa ambazo mwanafunzi anaweza akazipata kupitia forum na
facebook group yetu ni hizi zifuatazo
1.Ataweza kuungana na wanafunzi toka kila kona ya dunia mfano
wanafunzi kutoka SOUTH
AFRICA,GHANA,NIGERIA,UGANDA,KENYA,MALAWI,INDIA,USA na kuweza
kufanya majadiliano tofauti kuhusiana na masuala ya kielimu apa
tunaona ni jinsi gani mwanafunzi anaweza akapata fursa tofauti
kwa kuwauliza wanafunzi wa nje kuhusu SYSTEM ya kielimu ya nje
jinsi ilivo na pia tunaona kuwa kwa wale ambao watakua na ndoto
za kuweza kusoma nje wanaweza wakawadadisi wenzao kuhusiana na
suala zima la SCHOLARSHIP katika nchi hizo.
2.Mwanafunzi ataweza pata msaada wa kusaidiwa maswali ambayo
yamemshinda toka kwa wanafunzi wenzake au walimu ambao
wamejiunga na forum/tovuti yetu hii ni pale anapokua nyumbani
halafu ikatokea kuwa kuna maswali yamemshinda basi ataweza
kuyatuma kwenye tovuti yetu na kuweza kupatiwa msaada na
wanafunzi au walimu ambao wamejiunga na tovuti yetu hadi sasa
3.Kupitia forum/tovuti yetu mwanafunzi ataweza kutumia vizuri
muda wake wakati akiwa online bi maana bado hata akiwa anatumia
mtandao bado atakuwa anatumia vizuri muda wake kwa kujadili kitu
ambacho kina manufaa kwa upande wake.
SUPPORT US KWA KUSHARE NA MARAFIKI,NDUGU AMA MWANAO,ASANTENI
SANA WADAU WANGU KWA KUTUMIA MUDA WENU KUSOMA UJUMBE HUU
Unaweza ukatembelea forum yetu kwa kubofya link hii hapa chini
www.idiscusacademy.com /FORUM YA KUJIFUNZA
*****************************************************
Page 1 of 1