DIR Return Create A Forum - Home
---------------------------------------------------------
habari
HTML https://habari.createaforum.com
---------------------------------------------------------
*****************************************************
DIR Return to: Chatguest ads
*****************************************************
#Post#: 3323--------------------------------------------------
Faidika na Chatguest Ads, mfumo wa matangazo wenye bei ndogo ya
kutangaza blog/biashara kuliko sehe
DIR By: stakeholder
Date: December 7, 2016, 6:35 am
---------------------------------------------------------
Huduma za matangazo ya chatguest mfumo wa matangazo wenye bei
ndogo za matangazo kuliko sehemu nyingine yoyote duniani.
Chatguest Ads ni sehemu unayoweza kutangaza blog yako au huduma
yako au biashara yako kwa shilingi elfu tano tu kwa mwezi na
ukapata wateja wengi au watembeleaji wengi kwenye blog yako.
Mtandao wa matangazo wa chatguest umelenga kuwasaidia wamiliki
wadogo wadogo wa blog na biashara ili kuwawezesha kuweza kupata
faida kwa kazi wanayoifanya ya uandishi wa blog au biashara
ndogo ndogo walizozianshisha na wanataka kuzitangaza ili watu
wazijue.
Chagua vifurushi nafuu vya matangazo kama vilivyoorodheshwa
hapa chini
1.
anatangaza blog au biashara yake kwa shilingi elfu tano tu kwa
mwezi mzima na tangazo lake linaoneshwa kwenye blog ziaidi ya
600 kila mara kila siku. Mteja anatakiwa kulipia kuanzia miezi
mitatu. Mteja anaruhusiwa kulipia hata mwaka ili kuondokana na
usumbufu wa kusitisha matangazo mara ada ya tangazo inapoisha.
2.
linapooneshwa kwa mtu anayesoma blog. Kiwango cha chini cha
kununua impressions ni impressions elfu kumi na tano (15,000)
impression moja sawa na shilingi moja.
3.
msomaji blog amebonyeza tangazo hilo ili kupata maelezo zaidi
kwenye blog au website ya mteja wa tangazo. Kiwango cha chini
kununua clicks 150 wakati click moja ni sawa na shilingi 99.
Ukubwa wa matangazo.: Matangazo tunayotumia kwa sasa ni 728x200
tangazo la ulalo au 300x300 tangazo la wima. Matangazo haya ni
ya picha yakichanganywa na maandishi kama matangazo ya facebook
yanavyoonekana ,huu ni mfumo wa kisasa unaofaa kutumika kwenye
blogs au mitandao ya kijamii.
Jinsi tangazo lako litakavyoonekana
Mfano wa tangazo la ulalo (horizontal ad)
HTML http://i.grab.la/06c07-73a16059-54a8-4b72-aa71-079c13b86a11.png
Mfano wa Tangazo la wima (Vertical ad)
HTML http://i.grab.la/06c07-086e61ba-f847-41a2-be4b-1ae50b209084.png
Tuma ujumbe kwenda chatguestforum@gmail.com au whats app namba
0652428852 ukielezea unataka kutangaza nini na unachagua
kifurushi gani hapo juu. Kumbuka utaunganishwa na mfumo wa
matangazo yetu ambako utaweza kuangalia ripoti ya jinsi tangazo
lako linavyooneshwa kila siku kila wiki n kila mwezi na hata kwa
mwaka. Kwa mfumo huu utaweza kujua kama pesa uliyolipia
imetumika ipasavyo.
Huu ni mtandao wa kwanza unaowajali watanzania na kuwasaidia
kujiajiri kupitia uandishi wa blog kwa kuzitangaza blog zao na
kuwasaidia wafanya biashara wadogo wadogo ambao hawawezi kumudu
garama za kutangaza biashara zao kwa pesa nyingi kama wengine
wanavyotoza.
*****************************************************
Page 1 of 1