DIR Return Create A Forum - Home
---------------------------------------------------------
habari
HTML https://habari.createaforum.com
---------------------------------------------------------
*****************************************************
DIR Return to: <span style="color: #123aab; font-weight: bold;">Ri...
*****************************************************
#Post#: 3317--------------------------------------------------
Kama unamiliki blog hakikisha unasoma email hii ili utengeneze
ajira yako binafsi kwa kuandika blogs
DIR By: stakeholder
Date: November 13, 2016, 8:26 am
---------------------------------------------------------
Hallo Mwandishi/mmiliki wa blog hongera kwa kazi ya uandishi na
umiliki wa blog. Kama umeshaweka matangazo yetu ya "chatguest
ads" kwenye blog yako basi hongera sana endelea kuandika makala
wanazopenda watu kutembelea mitandaoni pia itangaze blog yako
bure facebook twitter whats app na kwingineko lakini usijiloge
ukatangaza facebook unapoteza muda na pesa zako huko ukitaka
kujua kwanini ingia www.chatguest.com jukwaa ya bloggers kuna
makala ipo inaelezea hasara ya kutangaza blog facebook Kama
unataka kutangaza blog yako kwa kulipia kidogo ili upate
watazamaji wengi basi weka tangazo lako kwenye mtandao wa
chatguestads soma maelezo kwenye link hii
HTML http://www.chatguest.com/makala-bora-(mb)/ofa-ya-kutangaza-blog-au-biashara-kwa-shilingi-elfu-tano-mwezi-mzima-wahi-sasa-t/
Nataka nikupe siri moja kuhusiana na shughuli ya blogging jinsi
itakavyokulipa hasa kuanzia mwaka huu mpaka utakapozeeka. Unajua
siku hizi watu wengi wanatumia smartphone kupata habari
mitandaoni hii ni fulsa kubwa kwetu bloggers kutengeneza pesa.
Lakini lazima uweke template inayofaa kwenye simu ichukue kwa
kubonyeza link hii
HTML http://www.responsivefreetemplate.blogspot.com
ili uweze kupata
watembeleaji walio wengi wanaotumia simu za mkononi na matangazo
yakaonekana kwenye simu hizo. Jinsi ya kuset teplate hiyo ni
rahisi sana na ni bure. Ukitaka msaada nifuate whatsapp kwa
namba 0652428852 nitakusaidia kukuelekeza kwa ukaribu zaidi kama
wewe si mkongwe kwenye masuala ya kutengeneza blog. Zoezi la
kudownload template hiyo na kuiweka kwenye blog yako haichukui
zaid ya dakika 5.
Sababu ya pili, siku hizi elimu bure pamoja na mpango
unaosemekana mtoto hataishia darasa la saba kama zamani ni mpaka
akifika sekondari yaani form four ndipo atakuwa amehitimu elimu
yake ya msingi hii tena ni fulsa kubwa kwetu bloggers ni fulsa
kubwa kwakua jamii kubwa itakuwa inaweza kutafuta habari kwenye
mitandao ya kijamii zikiwemo blog zako.
Sababu ya tatu ni kuwepo kwa intanet yenye kazi ya kuanzia 4g na
kuendelea iliyoanza baadhi ya mikoa hapa Tanzania hii itafanya
watu wengi watumie internet kupata habari sambamba na hii garama
za Televisoin za digital kulipia kila mwezi hapo ndipo watu
wengi zaidi watahamia kwenye mitandao ya kijamii kupata habari.
Kutokana na sababu hizo chache nilizoorodhesha hapo juu hakika
ukifungua blog na kuimarket vizuri utakuwa milionea. Wengi
tunaendesha blogs lakini hatupo kimaslahi tupo kiburudani tu. Ni
kweni ukiwa unaendesha blog inasomeka kwa watu unajisikia
ufahari sana lakini tuache mambo ya ufahari wa kujulikana wakati
hatuingizi pesa.
Napenda nikushirikishe vitu vingi lakini naona kwa leo nikupe
kiini cha email hii ambacho nataka tuanze biashara na wewe kwa
kuweka mtangazo yangu kwenye blog yako nianze kukulipa kwa mwezi
kulingana na watu wanaotembelea blog yako.
Tafadhali tumia muda mchache kubonyeza link hii
HTML http://www.chatguest.com/tehama/place-our-ads-on-your-blog-get-paid-per-month-according-to-total-blog-visitors/<br
/>chukua codes za matangazo weka kwenye blog yako kisha
wasiliana
nami whatsapp kwa namba 0652428852 au email address
chatguestforum@gmail.com
Karibu tutengeneze ajira zetu binafsi kwa kutumia blogs
Regards,
The chatguest Team.
*****************************************************
Page 1 of 1