URI:
   DIR Return Create A Forum - Home
       ---------------------------------------------------------
       habari
  HTML https://habari.createaforum.com
       ---------------------------------------------------------
       *****************************************************
   DIR Return to: Makala Bora
       *****************************************************
       #Post#: 3276--------------------------------------------------
       Ukweli kuhusu kutangaza biashara kwenye mtandao wa facebook soma
       hapa 
   DIR By: stakeholder
       Date: October 5, 2016, 12:24 am
       ---------------------------------------------------------
       Watu wengi sikuhizi wanatangaza biashara facebook hata makampuni
       yanafanya hivyo yakizani biashara zao zitajuliakana kwa watu
       wengi ili nao waongeze mauzo. Hata wamiliki wa blog nao
       wanajaribu kutangaza facebook ili kupata watembeleaji kwenye
       blog zao. Wanaamini kuwa wanapata watu wapya .
       Ukweli ni kwamba unapoteza pesa nyingi kutangaza facebook bila
       mafanikio. Nitakuleza kwanini. Nia sababu mbili za msingi ambazo
       nimeshazifanyia utafiti. Majibu niliyopata yanasikitisha. Watu
       hawajaelewa kuwa wanapoteza pesa bure kutangaza facebook.
       Sababu ya kwanza inayonifanya nisitangaze facebook tena ni hiii.
       Facebook inaonesha tangazo lako kwa watu wale wale kila siku
       tunaita frequency capping kwa kingereza. Yaani facebook huwezi
       kuonesha tangazo lako kwa unique members only facebook haina
       kipengele hicho. Madhara yake unalipia tangazo lako pesa nyingi
       kwa watu wale wale. Sasa jiulize kama mtu umempa ujumbe zaidi ya
       mara moja ukimfahamisha bidhaa zako lakini asiitikie au
       ameshaitikia kwa kununua bidhaa zako unaendelea kumpa ujumbe huo
       huo mara nyingi tena kwa kulipia pesa nyingi unakuwa unafanya
       nini? Fanya utafiti tazama matangazo yanayojitokeza facebook
       ukiwa online utaamini nachokisema facebook inaonesha mara nyingi
       kwa mtu huyo huyo hata kama ameshalibonyeza na kusoma bado
       facebook itaendelea kuonesha tangazo hilo hilo mara nyingi.
       Kumbuka unalipia kwa click au kwa impression kwa hiyo kuonesha
       tangazo lako kwa mtu moja mara nyingi unapata hasara.
       Sababu ya pili ukitangaza facebook kwa kulenga  tangazo
       lionekane Tanzania ndo umejipoteza kabisha. Watumiaji wengi wa
       facebook wanatumia facebook bure yaani hata kama simu yake haina
       salio anaweza kuipata facebook na matangazo anayaona sasa kama
       unalipia kwa kila anayebonyeza tangazo hapo ndiyo umejiua
       kabisa. Matangazo mengi ya kulipia kwa click yanalenga kupeleka
       traffic kwenye blogs au kumpeleka mtu sehemu yenye maelezo
       zaidi. Sasa nakuhakikishia clicks nyingi unazolipia hazipeleki
       watu sehemu uliyotaka. Mfano mtu ambaye simu yake haina salio la
       muda wa maongezi ambao unaweza kukatwa ili apate huduma baada ya
       kutoka facebook atapewa ujumbe no internet connection mara tu
       akianza kuoingia kwenye blog yako au website yako unayoitangaza
       lakini facebook itahesabu kama mtu huyo ameclick na amekwenda
       kwenye website yako.
       Jinsi ya kutatua tatizo hilo ili pesa zako zitumike vizuri kwa
       kutangaza kwenye mitandao ya kijamii
       Amini usiamini kuna mtandao mmoja tu unaoweza kutangaza biashara
       online na ukaonesha tangazo kwa watu wapya  tu. Kadili
       unavyoonesha tangazo kwa watu wapya ndivyo unavyoongeza
       uwezekano wa kupata wateja wapya watakaonunua bidhaa zako.
       Pia unavyoitangaza blog yako au website kwa watu wapya ndivyo
       unavyoongeza watembeleaji wengi kwenye blog yako kwakua idadi ya
       watu watakaoifahamu blog yako itakuwa kubwa kuliko kuonesha
       tangazo kwa watu wale wale kila siku. Nikutajie mtandao ambao
       ukiweka tangazo lako litaonekana kwa watu wapya tu yaani tangazo
       likionekana kwa kwako halitaoneshwa tena bali mtandao huo
       utapeleka tangazo lako kwa mtu mwingine naye alione. Mtandao huo
       ni www.chatguest.com na blogs zote ambazo ni matawi ya
       chatguest.com Kwa siku unauhakika wakupata watazamaji wapya si
       chini ya elfu kumi. Tuma tangazo lako sasa kwenda
       chatguestforum@gmail.com  tangazo lako litaanza kuonekana le
       oleo.
       Kama huwezi kutengeneza tangazo basi tuambie tukutengenezee
       kulingana na mahitaji yako. Tuma sms tu kwa namba 0756878929
       Karibu upate wateja wapya tu na utumie pesa kidogo sana
       kutangaza upate wateja wengi. Usitangaze facebook unapoteza pesa
       bure
       *****************************************************
       Page 1 of 1