DIR Return Create A Forum - Home
---------------------------------------------------------
habari
HTML https://habari.createaforum.com
---------------------------------------------------------
*****************************************************
DIR Return to: Makala Bora
*****************************************************
#Post#: 3244--------------------------------------------------
YARIYOJIRI KUHUSU UKUTA .
DIR By: judge
Date: August 30, 2016, 7:06 am
---------------------------------------------------------
Habari za mchana ,
Wadau hali imekuwa tete kuhusu Maadamano marufu UKUTA ambayo
ulizoa umaarufu takribani mwezi mmoja sasa toka tamko
lilipotolewa na Mwenyekiti wa Chadema,sasa unapingwa kila kona
kuwa ni kuwachochea makundi yote kwenye jamii kuingia kwenye
machafuko kwani tayari serikali imeshakataa kutokuwepo na
maandamano hayo.
Wahusika wakuu wanatapata huku na huku ili kutafuta mbinu ya
kujinasua si serikali wala si waandaa maandamano hakuna mwenye
welekeo wa kufanikisha kilichopo mbele ya mjadala.
Ni kweli maandamano yanasaidia kufikisha ujumbe kwa yale
yanayokiukwa na serikali lakini hatuna budi kufuata utaratibu
na kanuni zilizowekwa kwa kuzingatia katiba na uongozi uliopo
hasa katika kipindi hiki ambapo kuna sintofahamu kukithiri kwa
ujambazi na kuwapoteza ndugu zetu Polisi.
#Post#: 3253--------------------------------------------------
Re: YARIYOJIRI KUHUSU UKUTA .
DIR By: stakeholder
Date: August 31, 2016, 3:56 pm
---------------------------------------------------------
Mpigie kura mwandishi huyu alipwe
*****************************************************
Page 1 of 1