URI:
   DIR Return Create A Forum - Home
       ---------------------------------------------------------
       habari
  HTML https://habari.createaforum.com
       ---------------------------------------------------------
       *****************************************************
   DIR Return to: <span style="color: #123aab; font-weight: bold;">Na...
       *****************************************************
       #Post#: 3239--------------------------------------------------
       Form six necta results 2016 baraza limetangaza matokeo 
   DIR By: stakeholder
       Date: August 29, 2016, 2:17 am
       ---------------------------------------------------------
       Baraza la mitihani Tanzania NECTA limetangaza matokeo ya kidato
       cha Sita mwaka huu wa 2016 na wanaume wameongoza kwa wingi
       katika kumi bora, katibu mtendaji wa NECTA bado anaendelea
       kuongea mnaweza ona matokeo kwa website yao na ya TAMISEMI,
       Ufaulu umeshuka kwa asilimia 0.93 ikilinganishwa na mwaka 2015
       ambapo ufaulu ulikuwa 98.87.
       Shule 10 zilizofanya vizuri:
       1.Kisimiri,-Arusha
       2.Feza Boys,-Dar es Salaam
       3.Alliance Girls,-Mwanza
       4. Feza Girls,-Dar es Salaam
       5. Marian Boys,-Pwani
       6.Tabora Boys,-Tabora
       7.Kibaha,-Pwani
       8.Mzumbe-Morogoro
       9.Ilboru,-Arusha
       10. Tandahimba-Mtwara
       Shule 10 zilizofanya vibaya:
       1.Mpendae-Unguja
       2.Ben Bella-Unguja
       3.Tumekuja-Unguja
       4.Green Bird Boys-Kilimanjaro
       5.Jang'ombe-Unguja
       6.Kiembe Samaki-Unguja
       7.Tanzania Adventist-Arusha
       8.Al- Ishan Girls-Unguja
       9.Azania-Dar es Salaam
       10.Lumumba-Unguja
       *****************************************************
       Page 1 of 1