DIR Return Create A Forum - Home
---------------------------------------------------------
habari
HTML https://habari.createaforum.com
---------------------------------------------------------
*****************************************************
DIR Return to: Makala Bora
*****************************************************
#Post#: 3217--------------------------------------------------
DALILI ZA KUADIMIKA KWA MKAA NCHINI.
DIR By: judge
Date: August 24, 2016, 12:11 am
---------------------------------------------------------
Ni matumaini yangu kuwa mmeamka salama mkiwa na afya tele
kabisa,na ni jambo la kheri kama wewe na familia yako mko salama
maana wapo baadhi waliotamani kuiona leo lakini
katu!nakukaribisha tena katika nafasi ya pekee tujadili kichwa
cha habari hapo juu kwa kuwashirikisha watu tofauti ili tupate
mwelekeo walau unaovutia na wenye tija.
Kuadimika ni kitendo cha kitu fulani,jambo fulani au mtu
fulani kutoonekana mara kwa mara yaani kama ilivyozoeleka hapo
awali mtaani kwako,tunaposema dalili za kuadimika kwa mkaa
nchini hasa TANZANIA tunamanisha kuwa kuna viashiria
vinavyoonesha kukosekana,kutopatikana,kutokuwepo kabisa kwa
bidhaa hiyo iliyo na watumiaji wengi hasa wa hali yachini,aidha
inaweza kuwepo ikawa ni bei kubwa kuipata,pia inaweza
isipatikane kabisa bado ikawa kama almasi kutokana na gharama za
uzalishaji hadi usafirishaji kuwa washida,naomba tuangalie hiki:
Je, kuzuia biashara ya mkaa kunawanufaisha akina nani?
je, wananchi wa hali ya chini wana elimu tosha katika matumizi
ya gas?
Je, watu wote wako tayari kuingia kwenye matumizi ya gas nchi
nzima?
Je,kila mwananchi anaweza kumudu gharama za gas kama ilivyo
kuwa kwenye mkaa?
Karibu tushadili kwa pamoja share,like mpaka tupate mwelekeo na
elimu zaidi mpenzi msomaji.
itaendelea .....
wako
Hakimu Sadock,
S.L.P 7408
DSM Tanzania,
hakimusadock@gmail.com/judgeman29@gmail.com
#Post#: 3218--------------------------------------------------
Re: DALILI ZA KUADIMIKA KWA MKAA NCHINI.
DIR By: judge
Date: August 24, 2016, 12:13 am
---------------------------------------------------------
Ni matumaini yangu kuwa mmeamka salama mkiwa na afya tele
kabisa,na ni jambo la kheri kama wewe na familia yako mko salama
maana wapo baadhi waliotamani kuiona leo lakini
katu!nakukaribisha tena katika nafasi ya pekee tujadili kichwa
cha habari hapo juu kwa kuwashirikisha watu tofauti ili tupate
mwelekeo walau unaovutia na wenye tija.
Kuadimika ni kitendo cha kitu fulani,jambo fulani au mtu
fulani kutoonekana mara kwa mara yaani kama ilivyozoeleka hapo
awali mtaani kwako,tunaposema dalili za kuadimika kwa mkaa
nchini hasa TANZANIA tunamanisha kuwa kuna viashiria
vinavyoonesha kukosekana,kutopatikana,kutokuwepo kabisa kwa
bidhaa hiyo iliyo na watumiaji wengi hasa wa hali yachini,aidha
inaweza kuwepo ikawa ni bei kubwa kuipata,pia inaweza
isipatikane kabisa bado ikawa kama almasi kutokana na gharama za
uzalishaji hadi usafirishaji kuwa washida,naomba tuangalie hiki:
Je, kuzuia biashara ya mkaa kunawanufaisha akina nani?
je, wananchi wa hali ya chini wana elimu tosha katika matumizi
ya gas?
Je, watu wote wako tayari kuingia kwenye matumizi ya gas nchi
nzima?
Je,kila mwananchi anaweza kumudu gharama za gas kama ilivyo
kuwa kwenye mkaa?
Karibu tushadili kwa pamoja share,like mpaka tupate mwelekeo na
elimu zaidi mpenzi msomaji.
itaendelea .....
wako
Hakimu Sadock,
S.L.P 7408
DSM Tanzania,
hakimusadock@gmail.com/judgeman29@gmail.com
#Post#: 3224--------------------------------------------------
Re: DALILI ZA KUADIMIKA KWA MKAA NCHINI.
DIR By: stakeholder
Date: August 24, 2016, 12:13 pm
---------------------------------------------------------
Muunge mkono mwandishi huyu kwa kumpigia kura hapo juu
*****************************************************
Page 1 of 1