URI:
   DIR Return Create A Forum - Home
       ---------------------------------------------------------
       habari
  HTML https://habari.createaforum.com
       ---------------------------------------------------------
       *****************************************************
   DIR Return to: Makala Bora
       *****************************************************
       #Post#: 3213--------------------------------------------------
       Jinsi ya kuandika makala nzuri ili upate washabiki wa kukupigia
       kura na ulipwe pesa nyingi.
   DIR By: stakeholder
       Date: August 23, 2016, 2:22 am
       ---------------------------------------------------------
       Habari ndugu mwandishi wa makala mbalimbali hapa chatguest.com.
       Napenda nikushirikishe mbinu za kuandika makala ili makala yako
       ipendwe na watu wengi na wakupigie kura ya ndiyo ili ulipwe
       haraka.
       Chatguest.com inakulipa kwa kila makala utakayoiandika kwenye
       mtandao huu wa chatguest.com makara yako ukishaiandika mtalamu
       husika ataiwekea sehemu ya kupigia kura kisha utalipwa kwa kila
       kura ya ndiyo unayopata kwenye makala yako.
       Makala yako ukiiandika na kuanza kupigiwa kura itahesabiwa siku
       366 baada ya hapo makala hiyo itafungwa kupigiwa kura yaani
       ndani ya siku 366 ambazo ni mwaka mmoja kura zote unazopata
       zinathaminishwa na pesa. Malipo ya kwanza ukifikisha kura 100
       Pia kila unapofikisha kura 100 toka siku uliyolipwa pesa basi
       utalipwa tena mpaka  makala yako ikifungwa yaani baada ya mwaka
       mmoja.
       Kura moja ni sawa na Tsh 250 hivyo ni wewe tu kuandika makala
       nzuri na kuinadi kwa watu mtaani kwako au kuwatumia link ya
       makala yako kwenye facebook whatsapp twitter na hata kuiweka
       link hiyo kwenye blog yako kama tangazo ili watu waje kuisoma na
       kukupigia kura ili ulipwe.
       Jinsi ya kuandika makala nzuri ili ipendwe na wasomaji na kukupa
       kura ya ndiyo
       Kwanza kabisa hakikisha unaandika makala inayotatua matatizo
       katika jamii mfano  wa makala zinazotatua matatizo katika jamii
       ni kama hii yenye kichwa hiki. “ Jifunze kutengeneza sabuni za
       maji ili uanzishe biashara yako”  au namna ya kufanya mapenzi
       mapaka mwenza wako akukumbuke” makala kama hizo lazima msomaji
       atavutiwa kwakua lazima utamgusa shida yake hivyo utajikuta
       unapigiwa kura ya ndiyo haraka na watu wengi watakupigia kura.
       Pia unaweza kutumia mbinu hii. Sikiliza vyombo vya habari Kama
       redio TV kisha ile habari inayovuma sana iandike hapa mtandaoni
       mara tu unapoisikia kisha chini yake weka uchambuzi wako mfano
       unaweza kusikia kuwa  Mh Kasimu Majaliwa ajiuzuru uwaziri mkuu
       basi tumia fulsa ya habari hiyo andika hapa mtandaoni kisha weka
       uchambuzi wako kwenye habari hiyo hakika watu wakisikia habari
       kama hizo mitaani lazima huwa wanazitafuta mitandaoni hivyo
       utapata watu wengi toka google wanaoseach habari hiyo hapo hapo
       watakupigia kura ya ndiyo kwakua umewapa habari waliokuwa
       wanaitafuta pia umeifafanua au kuanzisha mjadala.
       Mwisho inadi makala yako. Hii ni muhimu sana. Hata wagombea wa
       Urais na ubunge wanaweza kuwa na sera nzuri lakini bila kuzinadi
       sera zao kwa kupitia kampeni za kisiasa hawawezi kupigiwa kura.
       Hivyo hivyo na wewe unaweza kuandika makala nzuri hapa mtandaoni
       lakini hujainadi kwa marafiki waliopo whatsapp waliopo facebook
       waliopo twitter. Fanya kampeni sambaza link ya makala yako
       kwenye mitandao ya kijamii  tuma link ya makala yako wenye email
       za watu hakika unaweza kupata hata kura elfu kumi kwa siku
       kulingana na mtandao ulioutengeneza. Sasa ukipata kura elfu kumi
       kwa siku una Tsh 250x 10000=2,500,000 hizo ni pesa zako  na
       utalipwa hakuna utapeli hapa chatguest.com
       Kazi ni kwako tunatengeneza ajira kwa vijana wanaotumia internet
       Muhimu: Tangazo hakikisha umejisajiri kwenye mtandao wetu mpya
       wa kisasa ili ulipwe kila unapoandika makala kwenye mtandao huo
       millionairebloggers.com Bonyeza hapa
  HTML http://millionairebloggers.com/index.php?login/login
       Ukiandika
       hapa chatguest huwezi kulipwa.
       #Post#: 3241--------------------------------------------------
       Re: Jinsi ya kuandika makala nzuri ili upate washabiki wa
       kukupigia kura na ulipwe pesa nyingi.
   DIR By: Nyakirangani
       Date: August 29, 2016, 4:04 am
       ---------------------------------------------------------
       Ashumu uchaguzi wa Tanzania bara unarudiwa utamchagua nani kati
       ya LOWASSA na MAGUFULI
       #Post#: 3270--------------------------------------------------
       Re: Jinsi ya kuandika makala nzuri ili upate washabiki wa
       kukupigia kura na ulipwe pesa nyingi.
   DIR By: datipcm95
       Date: September 24, 2016, 1:01 pm
       ---------------------------------------------------------
       Hamuoni kwamba mda nimwingi uo kama kijana aliye na shida atakaa
       siku 366zote
       #Post#: 3272--------------------------------------------------
       Re: Jinsi ya kuandika makala nzuri ili upate washabiki wa
       kukupigia kura na ulipwe pesa nyingi.
   DIR By: stakeholder
       Date: September 28, 2016, 7:46 am
       ---------------------------------------------------------
       --- Quote from: datipcm95 link ---
       >
       > Hamuoni kwamba mda nimwingi uo kama kijana aliye na shida
       atakaa siku 366zote
       >
       --- End Quote ---
       Haimaanishi kulipwa mpaka zipite siku 366 hapana. Huo ni muda wa
       makala yako kuwa na thamani ya kupigiwa kura. Malipo ya kwanza
       ni unapofikisha kura 100 hata kama ukizipata kwa siku moja
       utalipwa siku hiyo hiyo
       #Post#: 3332--------------------------------------------------
       Re: Jinsi ya kuandika makala nzuri ili upate washabiki wa
       kukupigia kura na ulipwe pesa nyingi.
   DIR By: promo1
       Date: December 16, 2016, 1:32 pm
       ---------------------------------------------------------
       JE UNA MDOGO, NDUGU, RAFIKI AU MWANAO AMBAE BADO ANASOMA KIDATO
       CHA 1-6,HABARI NJEMA NI HIZI AMBAZO UNAWEZA UKASHARE NAE
       kupitia tovuti yetu ya
       www.idiscusacademy.com ni tovuti/FORUM pekee ambayo
       inawakutanisha wanafunzi toka sehemu/nchi tofauti duniani
       kupitia group letu la facebook ambalo lina WATUMIAJI
       90,726,watumiaji hawa ni wanafunzi na walimu ambao wanatoka kila
       kona ya dunia ,,kupitia forum ambayo tumeiansisha sasa tuna
       lengo la kumpa mwanafunzi uhuru kwa ajili ya kuweza kujadili
       masuala tofauti ya kielimu kwa uhuru mkubwa kwa ajili ya kuweza
       kufanya majadiliano tofauti ambayo yanahusiana na ELIMU,faida
       kadhaa ambazo mwanafunzi anaweza akazipata kupitia forum na
       facebook group yetu ni hizi zifuatazo
       1.Ataweza kuungana na wanafunzi toka kila kona ya dunia mfano
       wanafunzi kutoka SOUTH
       AFRICA,GHANA,NIGERIA,UGANDA,KENYA,MALAWI,INDIA,USA na kuweza
       kufanya majadiliano tofauti kuhusiana na masuala ya kielimu apa
       tunaona ni jinsi gani mwanafunzi anaweza akapata fursa tofauti
       kwa kuwauliza wanafunzi wa nje kuhusu SYSTEM ya kielimu ya nje
       jinsi ilivo na pia tunaona kuwa kwa wale ambao watakua na ndoto
       za kuweza kusoma nje wanaweza wakawadadisi wenzao kuhusiana na
       suala zima la SCHOLARSHIP katika nchi hizo.
       2.Mwanafunzi ataweza pata msaada wa kusaidiwa maswali ambayo
       yamemshinda toka kwa wanafunzi wenzake au walimu ambao
       wamejiunga na forum/tovuti yetu hii ni pale anapokua nyumbani
       halafu ikatokea kuwa kuna maswali yamemshinda basi ataweza
       kuyatuma kwenye tovuti yetu na kuweza kupatiwa msaada na
       wanafunzi au walimu ambao wamejiunga na tovuti yetu hadi sasa
       3.Kupitia forum/tovuti yetu mwanafunzi ataweza kutumia vizuri
       muda wake wakati akiwa online bi maana bado hata akiwa anatumia
       mtandao bado atakuwa anatumia vizuri muda wake kwa kujadili kitu
       ambacho kina manufaa kwa upande wake.
       SUPPORT US KWA KUSHARE NA MARAFIKI,NDUGU AMA MWANAO,ASANTENI
       SANA WADAU WANGU KWA KUTUMIA MUDA WENU KUSOMA UJUMBE HUU
       Unaweza ukatembelea forum yetu kwa kubofya link hii hapa chini
       www.idiscusacademy.com /FORUM YA KUJIFUNZA
       *****************************************************
       Page 1 of 1