URI:
   DIR Return Create A Forum - Home
       ---------------------------------------------------------
       habari
  HTML https://habari.createaforum.com
       ---------------------------------------------------------
       *****************************************************
   DIR Return to: <span style="color: #123aab; font-weight: bold;">Na...
       *****************************************************
       #Post#: 3206--------------------------------------------------
       Breaking news: serikali yaanza kuajiri baada ya kusitishwa kwa
       muda kwa ajiri ya uhakiki wa watumish
   DIR By: stakeholder
       Date: August 20, 2016, 1:14 am
       ---------------------------------------------------------
       Habari njema kwa vijana mnaotafuta kazi sasa Serikali yaendelea
       na mchakato wa ajira kama ilivyokuwa awali baada ya kukamilisha
       zoezi la kuhakiki watumishi hewa kama alivyoagiza Mh Rais wa
       jamhuri  ya Tanzania Dr john Pombe Magufuli kwahiyo endelea
       kutembelea mtandao huu kupata habari za nafasi za kazi kila
       zinapotangazwa na serikali. Chatguest.com itakujulisha kila
       kilichoandikwa kwenye website ya serikali inayojihusisha na
       zoezi la kutangaza nafasi za kazi serikalini na kuajiri
       watumishi ajira.go.tz
  HTML http://i.grab.la/06814-1a8c3d5e-c56f-4af6-8ac3-f0a70a54f96f.png
       *****************************************************
       Page 1 of 1