URI:
   DIR Return Create A Forum - Home
       ---------------------------------------------------------
       habari
  HTML https://habari.createaforum.com
       ---------------------------------------------------------
       *****************************************************
   DIR Return to: Jukwaa la wanafunzi Tanzania (JUWATA)
       *****************************************************
       #Post#: 3190--------------------------------------------------
       Matokeo ya kidato cha nne 2016/2017 yatakuwaje? matukio yote ya
       mtihani wa kidato cha nne 2016/2017 
   DIR By: stakeholder
       Date: August 9, 2016, 7:41 am
       ---------------------------------------------------------
       Matokeo ya kidato cha nne 2016/2017 yatakuwaje? matukio yote ya
       mtihani wa kidato cha nne 2016/2017 tunapena hapa
       Jisomee muda mwingi ili matokeo ya kidato cha nne 2016/2017 yawe
       mazuri kwako.  Hatimaye kidato cha nne 2016 mnajiandaa kwa
       mtihani wa kidato cha nne 2016. Zimebaki siku chache sana. Huu
       ndio muda mzuri wa kuweka vitu sawa yaani fanya revision ya kile
       ulichofundishwa toka kidato cha kwanza.Ndugu msomaji kabla
       hujaendelea kusoma makala hii unaombwa kuwajulisha wanafunzi wa
       kidato cha nne hata  kumi tu kuwa watembelee hapa ili nao
       wanufaike na habari hii. Chukua simu yako ya mkononi andika
       maneno yafuatayo Ingia www.chatguest.com
  HTML http://www.chatguest.com/index.php?action=refferals;refferedby=1/<br
       /> upate mambo muhimu  pia tuma facebook kama upo na sehemu
       nyinginezo hata kwa kuwaambia marafiki kwa mdomo.
       Mtandao huu wa chatguest.com unakulipa ukiandika insha za
       kuelimisha jamii au kuiburudisha Pia unalipwa ukialika marafiki
       waje hapa www.chatguest.com
  HTML http://www.chatguest.com/index.php?action=refferals;refferedby=1/<br
       />siyo hivyo tu bali unalipwa kila ukicheza games hapa chatguest
       Jisajiri dakika mbili tu kwa kubonyeza hapa.
  HTML http://www.chatguest.com/index.php?action=refferals;refferedby=1/
       Acha kucheza cheza na kupoteza muda kwenye mitandao ya kijamii
       kama facebook whats app na mitandao mingine inayoibuka kama
       uyoga. Jisomee muda mwingi ili matokeo yako yawe mazuri. Japo
       muda ni kama umekwisha lakini bado unaweza kubadili alama zako
       za ufaulu. Namaanisha kama ulitakiwa upate C kwa maandalizi
       hafifu uliyokwisha yafanya basi kuanzia leo kama utakuwa makini
       na kuongeza jitihada hata kama zimebaki siku mbili bado unauwezo
       wa kupata alama A+
       Nina rafiki yangu kipindi nasoma kidato cha tano na sita alikuwa
       akifundishwa darasani na mwalimu anasikiliza ana andika kila
       kitu akitoka darasani hagusi chochote cha kujisomea mpaka siku
       mbili kabla ya mtihani ndipo ana hangaika kwa hali na mali mpaka
       anafaulu somo holo. Huyu rafiki anaitwa frank Ngajiro sasa hivi
       ni afisa mkubwa kitengo cha TRA. Huyu jamaa hajawahi kufeli somo
       lolote japo soma yake ilikuwa siku mbili kabla ya mtihani.
       Nimekusimulia hadithi hiyo ili kukuhakikishia kuwa kwenye
       maandalizi ya mtihani hata kama imebaki siku moja ni muhimu
       sana.
       Mtandao huu wa chatguest.com unakulipa ukiandika insha za
       kuelimisha jamii au kuiburudisha Pia unalipwa ukialika marafiki
       waje hapa www.chatguest.com
  HTML http://www.chatguest.com/index.php?action=refferals;refferedby=1/<br
       />siyo hivyo tu bali unalipwa kila ukicheza games hapa chatguest
       Jisajiri dakika mbili tu kwa kubonyeza hapa.
  HTML http://www.chatguest.com/index.php?action=refferals;refferedby=1/
       Ili  matokeo ya kidato cha nne 2016/2017 yawe mazuri basi ewe
       mwanafunzi wa kidato cha nne mwaka huu kaza buti pambana. Wale
       wanafunzi wanaoendekeza ngono / mapenzi wakiwa shuleni ,kama
       wewe ni kidato cha nne mwaka huu halafu unakatabia hako
       tafadhali acha maramoja hasa kipindi hiki cha maandalizi ya
       mtihani wa taifa kidato cha nne 2016. Hizo ngono utazikuta
       mtaani baada ya kuwa umefanya vizuri mtihani wako wa kidato cha
       nne. Ila isiwe ngono uzembe kwakua ukimwi upon a unauwa.
       Nidhamu kwa walimu wako ni kitu muhimu sana hasa kipindi hiki
       cha lala salama. Kuna kidato cha nne wakikaribia kuhitimu elimu
       yao wanadhani sasa wao ni wakubwa kuliko walimu wao waliowapokea
       tangu kidato cha kwanza hata vitau hawajajua kuvaa vizuri.
       Wanafunzi hawa wanakuwa wanawadharau walimu wanawapiga walimu
       eti wakijidanganya kuwa wameshamaliza kidato cha nne
       watakutaniana wapi. Wanafunzi wenye mtazamo finyu hawajui bado
       mwalimu huyo ana nafasi kubwa kumwezesha mwanafunzi afaulu hata
       kama zimebaki siku mbili kabla ya mtihani.
       Mtando wa  chatguest.com unakutakia maandalizi mazuri ya mtihani
       wa wa taifa kidato cha nne 2016 jipange pambana ili matokeo ya
       kidato cha nne 2016/2017 wote tuseme ni mazuri sio mabaya.
       #Post#: 3192--------------------------------------------------
       Re: Matokeo ya kidato cha nne 2016/2017 yatakuwaje? matukio yote
       ya mtihani wa kidato cha nne 2016/2
   DIR By: Nadia
       Date: August 10, 2016, 12:33 am
       ---------------------------------------------------------
       mtihani wa kidato cha nne 2016 unaanza lini?
       *****************************************************
       Page 1 of 1