DIR Return Create A Forum - Home
---------------------------------------------------------
habari
HTML https://habari.createaforum.com
---------------------------------------------------------
*****************************************************
DIR Return to: Jukwaa la wanafunzi Tanzania (JUWATA)
*****************************************************
#Post#: 3017--------------------------------------------------
Wangapi humu walisoma boding school?
DIR By: Nadia
Date: March 3, 2016, 12:36 pm
---------------------------------------------------------
Aliyesoma boding school kipindi simu adimu sasa asembo kulikuwa
kunasomwa barua walizotumiwa wanafunzi toka kwa wazazi walezi,
ndugu jamaa sasa utakuta wenzio kila wiki wanapata baru wewe
miezi mwaka hujawahi kutumiwa barua je wale ambao walikuwa
hawatumiwi barua zikasomwa asembo walikuwa wanafanya nini?
Aliyesoma boding enzi za barua hawezi kosa swali hili
#Post#: 3027--------------------------------------------------
Re: Wangapi humu walisoma boding school?
DIR By: Mwelinde modest
Date: March 6, 2016, 1:51 am
---------------------------------------------------------
Mimi nimesoma shule ya boarding toka kidato cha 1 -1v,yaani
kipindi hcho simu hazpo ilikuwa taabu xana.
#Post#: 3042--------------------------------------------------
Re: Wangapi humu walisoma boding school?
DIR By: othuman ndimbu
Date: March 11, 2016, 2:24 am
---------------------------------------------------------
mara nyingi hujihisi kuwa wametengwa lakini pia ukifuatilia
wengi wa wanafunzi hao huwa ni watukutu hvyo hujikuta wapweke na
wenye huzuni
*****************************************************
Page 1 of 1