URI:
   DIR Return Create A Forum - Home
       ---------------------------------------------------------
       habari
  HTML https://habari.createaforum.com
       ---------------------------------------------------------
       *****************************************************
   DIR Return to: <span style="color: #123aab; font-weight: bold;">Ma...
       *****************************************************
       #Post#: 2961--------------------------------------------------
       NATAFUTA MCHUMBA
   DIR By: Bundala Khamis
       Date: February 23, 2016, 6:32 pm
       ---------------------------------------------------------
       Naitwa Bundala Khamis mkazi wa ushirombo,Geita. Natafuta mchumba
       wa kuoa mwenye sifa kama hizi ainishwa;- 1-Mcha mungu na mwenye
       hofu na mungu, 2-mwenye kujiheshimu,tabia njema yenye kumpendeza
       mungu,mume na jamii inayo mzunguka pia. 3- Umbo la kati, mrefu
       kiasi, rangi mweupe au maji ya kunde. 4- Elimu kidato cha 4 na
       kuendelea.   5- Sibagui kabila wala ukanda. 6- Mwanamke aliye na
       sifa kama hizi, naomba anitafute kwa njia ya baruapepe:
       clemancymichael@hotmail.com                                NB.
       Vigezo na masharti kuzingatiwa. Unakaribishwa sana.
       #Post#: 3121--------------------------------------------------
       Re: NATAFUTA MCHUMBA
   DIR By: michael peter
       Date: May 11, 2016, 11:01 pm
       ---------------------------------------------------------
       Naitwa Michael Peter naishi dar natafuta mchumba wa kuoa mwenye
       sifa km hizi; mcha mungu na mwenye hofu na mungu, mweupe, elimu
       kidato cha nn(4) na kuendelea anitafute kupitia 07838778786 au
       shijamichael@gmail.com,kigezo na masharti kuzingatiwa
       *****************************************************
       Page 1 of 1