DIR Return Create A Forum - Home
---------------------------------------------------------
habari
HTML https://habari.createaforum.com
---------------------------------------------------------
*****************************************************
DIR Return to: Jukwaa la wanafunzi Tanzania (JUWATA)
*****************************************************
#Post#: 2951--------------------------------------------------
Majina ya wanafunzi waliochaguliwa kidato cha tano 2016/2017
form five selection 2016/2017 habari zo
DIR By: stakeholder
Date: February 21, 2016, 1:45 am
---------------------------------------------------------
Sasa unatafuta majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na
kidato cha tano 2016/2017
Kwanza kabisa hongera kwa kufaulu mtihani wa kidato cha nne
2015, kama wewe ni mwalimu,mlezi,mzazi ,ndugu au jamaa wa
mwanafunzi aliyefaulu mtihani huo basi nawe tunakupa pongezi
pia. . Hapa chatguest tutakusaidia kukutumia ujumbe mara majina
hayo yatakapotoka chakufanya jisajiri hapa
HTML http://www.chatguest.com/index.php?action=refferals;refferedby=167<br
/>kwakutumia email yako ili majina hayo yakitoka tukutumie
ujumbe
kwenye email yako. Bonyeza hapa kujiunga kwa dakika moja tu
HTML http://www.chatguest.com/index.php?action=refferals;refferedby=167
Je wajua kuwa unalipwa ukiwa hapa chatguest? Ukicheza games
unalipwa, Ukiandika insha unalipwa ukimwambia rafiki atumie
chatguest unalipwa jisajiri dakika moja tu kwa kubonyeza hapa
ili ulipwe
HTML http://www.chatguest.com/index.php?action=refferals;refferedby=167
Majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha tano 2016
au selection kidato cha tano 2016 majina hayo yakitoka halafu
wewe ukawa hujapata shule je unajiandaaje kwa hili? au wewe
mzazi/mlezi unamwandaaje huyo kijana kuhakikisha anapata haki
yake ya msingi ya kupata elimu bora.Ningekuwa mimi ningechukua
form za kujiunga na shule za private kidato cha tano 2016
angalau hata moja nikaijaza vizuri na kuituma ili nibahatishe na
ikitokea shule za serikali sikuchaguliwa kutokana na uhaba wa
shule basi naenda kujiunga na shule binafsi. Kama form five
second selection 2016 nikabahatika kuchaguliwa basi narudi shule
ya serikali kama tatizo ni ukubwa wa ada shule hiyo binafsi
nitakayokuwa nimeenda kuanza masomo.
Je wajua kuwa unalipwa ukiwa hapa chatguest? Ukicheza games
unalipwa, Ukiandika insha unalipwa ukimwambia rafiki atumie
chatguest unalipwa jisajiri dakika moja tu kwa kubonyeza hapa
ili ulipwe
HTML http://www.chatguest.com/index.php?action=refferals;refferedby=167
Kila kitu unapokifanya katika maisha lazima uwe na alternative B
au plan B ili ukikosa plan ya kwanza basi plan ya pili lazima
itiki isipotiki nayo basi si ridhiki yako au utajaribu tena siku
nyingine. Siku hizi wanafunzi ni wengi wanaomaliza kidato cha
nne kutokana na shule za sekondari kujengwa kila kata Tanzania
nzima lakini shule za advanced ni chache labda uje mpango
mwingine wa kuongeza madarasa kwenye shule za o level ili
advanced level nayo iwepo kila kata.
Je wajua kuwa unalipwa ukiwa hapa chatguest? Ukicheza games
unalipwa, Ukiandika insha unalipwa ukimwambia rafiki atumie
chatguest unalipwa jisajiri dakika moja tu kwa kubonyeza hapa
ili ulipwe
HTML http://www.chatguest.com/index.php?action=refferals;refferedby=167
Kama hukubahatika kufaulu mtihani wa kidato cha nne 2015 lakini
ulijituma shuleni katika kujifunza usikate tamaa. Kufeli mtihani
si kufeli maisha pia unaweza kurisiti yaani kurudia mtihani na
ukafaulu au ukaenda kujiunga na vyuo vya ufundi ili nawe uweze
kuendesha maisha yako baada ya kupata ujuzi fulani kama vile
uselemala, ufundi wa magari, ufundi umeme, vyuo vya maendeleo ya
jamii vya wananchi vinavyofundisha stadi za kazi na vyuo vingine
vinavyopokea wanafunzi ambao hawakubahatika kufaulu mtihani wa
kidato cha nne lakini wanauwezo fulani.
Je wajua kuwa unalipwa ukiwa hapa chatguest? Ukicheza games
unalipwa, Ukiandika insha unalipwa ukimwambia rafiki atumie
chatguest unalipwa jisajiri dakika moja tu kwa kubonyeza hapa
ili ulipwe
HTML http://www.chatguest.com/index.php?action=refferals;refferedby=167
Kwa wewe unayeenda kujiunga na kidato cha tano basi kakazane
kusoma ili uje kufaulu vizuri mtihani wa kidato cha sita na
kujiunga na chuo kikuu bila kuwa na matatizo. Chuo kikuu nako
kuna changamoto kama hutafaulu vizuri mtihani wa kidato cha sita
basi utapata shida kuomba chuo na kusomea kozi unayotaka. usije
ukajidanganya kuwa advanced masomo ni machache kwahiyo ni mwendo
wa kula bata utapotea kijana.
Je wajua kuwa unalipwa ukiwa hapa chatguest? Ukicheza games
unalipwa, Ukiandika insha unalipwa ukimwambia rafiki atumie
chatguest unalipwa jisajiri dakika moja tu kwa kubonyeza hapa
ili ulipwe
HTML http://www.chatguest.com/index.php?action=refferals;refferedby=167
Wapo waliofaulu mtihani wa kidato cha nne 2015 wakajikuta
combinations zaidi ya moja zimekubali sasa wanabaki wanajiuliza
waende wakasomee kombi gani kati ya hizo. nakushauri kwanza
jitathmini uwezo wako pia angalia soko la ajira linataka nini
sana. Waulize walimu na walezi na wakubwa wako waliobahatika
kufika chuo kikuu wakupe ushauri usomee kombi gani kati ya hizo
ulizofaulu.
Mwisho chatguest.com inapenda kuwatakia masomo mema waliomaliza
kidato cha nne 2015 na wanaendelea na masomo ya ngazi inayofuata
ili kuweza kuja kustahimili kwenye dunia ya leo inayohitaji
elimu/ujuzi ili kufanikiwa kimaisha. Endelea kutumia
chatguest.com ufaidike na kulipwa kila unapocheza games humu
mtandaoni pia unalipwa kila ukimwambia rafiki awe anatumia
mtandao wa chatguest na unalipwa kila ukiandika insha zenye
manufaa kwa jamii humu mtandaoni. Majina ya wanafunzi
waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano 2016/2017 yakitoka
utajulishwa kama umejisajiri hapa
HTML http://www.chatguest.com/index.php?action=refferals;refferedby=167
#Post#: 3133--------------------------------------------------
Re: Majina ya wanafunzi waliochaguliwa kidato cha tano 2016/2017
form five selection 2016/2017 habar
DIR By: stakeholder
Date: June 24, 2016, 9:32 am
---------------------------------------------------------
Post za kidato cha tano 2016/2017 hizi hapa bofya link kutazama
HTML http://www.pmoralg.go.tz/selection/index.php
Kumbuka unalipwa
kwa kutembelea mtandao huu wa chatguest.om
Ukishaona jina lako umepangiwa shule gani rudi hapa
chatguest.com andika shule uliyopangiwa ili upewe blog ya
kuiongoza ukiwa shule ni hapo na utalipwa pesa nzuri kila mwezi
Post za kidato cha tano 2016/2017 ndo hizo kasome acha
usharobalo na kuendekeza ngono uzembe
#Post#: 3135--------------------------------------------------
Re: Majina ya wanafunzi waliochaguliwa kidato cha tano 2016/2017
form five selection 2016/2017 habar
DIR By: m23
Date: June 24, 2016, 12:23 pm
---------------------------------------------------------
Post za kujiunga na kidato 2016/2017 mwaka huu je kuripoti
shuleni kidato cha 5 ni lini?
*****************************************************
Page 1 of 1