URI:
   DIR Return Create A Forum - Home
       ---------------------------------------------------------
       habari
  HTML https://habari.createaforum.com
       ---------------------------------------------------------
       *****************************************************
   DIR Return to: Chatguest ads
       *****************************************************
       #Post#: 2934--------------------------------------------------
       Blog inauzwa shilingi elfu tatu tu nunua utengeneze pesa kupitia
       matangazo
   DIR By: CGMarketing
       Date: February 17, 2016, 2:41 pm
       ---------------------------------------------------------
       Nunua blog hii iliyoanza kuingiza pesa ili nawe utajirike. Sasa
       blog ni biashara, wengi wamejiajiri kupitia blog. Tunaiuza blog
       hii kwa bei ya bure kabisa. kawaida blog ikitengenezwa inauzwa
       si chini ya elfu arobaini lakini sisi tunaiuza blog hii kwa bei
       ya promotion ni shilingi elfu tatu tu za kitanzania. Miliki blog
       hii uanze kutengeneza pesa kupitia matangazo.
       Faida ya kununua blog toka team ya chatguest ni kwamba utapata
       msaada kila unapohitaji kama vile kusaidia kuiboresha blog hiyo
       pia utapata ofa ya kuitangaza blog yako kwenye mitandao yetu
       mingi inayotembelewa na watu wengi kwa siku hivyo nawe utapata
       matangazo yatakayokulipa kila mwezi.
       Itazame blog yenyewe kwanza inavyovutia na inavyotembelewa na
       watu kila siku.
       Blog yenyewe ni hii maishaboratanzania.blogspot.com inunue sasa
       utajirike
       #Post#: 2939--------------------------------------------------
       Re: Blog inauzwa shilingi elfu tatu tu nunua utengeneze pesa
       kupitia matangazo
   DIR By: CGMarketing
       Date: February 19, 2016, 3:09 am
       ---------------------------------------------------------
       Tayari imeshanunuliwa hiyo blog hapo juu. Kama unahitaji blog
       nyingine toa oda hapa utatengenezewa na watalamu wetu ndani ya
       Siku moja. Utalipia shilingi elfu tatu tu na sio elfu hamsini
       kama wanavyotoza wengine. Faida ya kununua blog hapa chatguest
       ni kwamba blog yako lazima ikulipe. Unanunua kwa sh elfu tatu
       lakini utatengeneza zaidi ya milioni kupitia matangazo
       unayopokea. Pia chatguest inaweza kuweka matangazo yake Mara
       ukiwa na watembeleaji wengi na itakulipa
       #Post#: 3314--------------------------------------------------
       Nahitaji blog!
   DIR By: Bundala Khamis
       Date: October 31, 2016, 8:01 pm
       ---------------------------------------------------------
       Naitwa Bundala Khamis kutoka pande za Ushirombo-GEITA. Nahitaji
       mnitengenezee blogu yenye title nzuri na yakuvutia!  je,
       Itawezekana?
       #Post#: 3316--------------------------------------------------
       Re: Blog inauzwa shilingi elfu tatu tu nunua utengeneze pesa
       kupitia matangazo
   DIR By: stakeholder
       Date: November 6, 2016, 9:15 am
       ---------------------------------------------------------
       Karibu utapata blog nzuri na inayosomeka vizuri kwenye simu
       kwakua siku hizi watu wengi wanatumia simu kuingia kwenye
       mitandao ya kijamii kuliko kompyuta. Hivyo blog yako kama si
       rafiki kwenye simu hutapata watembeleaji wengi.Pendekeza majina
       matano ya blog unayopenda iitwe kisha tuma kwenda
       chatguestforum@gmail.com au jibu hapa hapa hadharani utapata
       blog yako ndani ya siku moja
       *****************************************************
       Page 1 of 1