DIR Return Create A Forum - Home
---------------------------------------------------------
habari
HTML https://habari.createaforum.com
---------------------------------------------------------
*****************************************************
DIR Return to: Jukwaa la elimu Tanzania
*****************************************************
#Post#: 2806--------------------------------------------------
Tangazo toka Baraza la mitihani Tanzania kuhusu Usajili wa
Mtihani wa Kidato cha Nne 2016 na Maarifa
DIR By: stakeholder
Date: February 15, 2016, 5:15 am
---------------------------------------------------------
Hili ni tangazo muhimu kuhusu Usajili wa Mtihani wa Kidato cha
Nne 2016 na Maarifa (QT)
"Kipindi cha usajili kwa watahiniwa wa Kujitegemea kitaanza
tarehe 1
Januari, 2016 kwa ada ya Shilingi 50,000/=kwa wanaojisajili CSEE
na
Shilingi 30,000/= kwa wanaojisajili QT na kitaishia tarehe 29
Februari,
2016. Aidha watakaojisajili kwa kuchelewa yaani tarehe
01/03/2016
hadi tarehe 31/03/2016 watalipa Shilingi 65,000/= kwa watahiniwa
wa
Kidato cha Nne (CSEE) na Shilingi 40,000/= kwa watahiniwa wa
mtihani wa Maarifa (QT) ikiwa ni ada ya kawaida pamoja na
faini................soma zaidi kwenye link hii
HTML http://www.necta.go.tz/files/TANGAZO%20-CSEE%202016%20final.pdf<br
/>"
*****************************************************
Page 1 of 1