URI:
   DIR Return Create A Forum - Home
       ---------------------------------------------------------
       habari
  HTML https://habari.createaforum.com
       ---------------------------------------------------------
       *****************************************************
   DIR Return to: Jukwaa la elimu Tanzania
       *****************************************************
       #Post#: 1897--------------------------------------------------
       Orodha ya majina ya waliochaguliwa TCU kujiunga na vyuo vikuu
       2015/2016 imetoka?
   DIR By: stakeholder
       Date: July 7, 2015, 4:11 am
       ---------------------------------------------------------
       Orodha ya majina ya waliochaguliwa TCU kujiunga na vyuo vikuu
       2015/2016 Bonus post
       Habari ndugu msomaji uliyetuma maombi na ambaye bado hujatuma
       maombi ya kujiunga na vyuo vikuu mwaka wa masomo 2015/2016. Una
       shauku ya kujiunga na elimu ya juu mwaka 2015.
       Jisajiri na mtandao huu utumiwe Taarifa kwenye email yako
       kuhusiana na majina hayo mara tu yatakapotangazwa na idara
       husika yaani TCU Bonyeza hapa kujiunga ni bure na ni dakika
       mbili tu.
  HTML http://www.chatguest.com/index.php?action=refferals;refferedby=1
       Faida nyingine unazopata kwa kujiunga na mtandao huu kwanza
       utaweza kupata marafiki toka vyuo vyote Tanzania na nje ya
       Tanzania. Pia utalipwa pesa wakati wote hata ukiwa masomoni
       yaani ukicheza games unalipwa, ukialika rafiki ajiunge na
       mtandao huu unalipwa ukiandika makala ya kuelimisha jamii
       unalipwa na fulsa nyingine kede kede zipo hapa chatguest.com
       Jiunge sasa kwa urahisi na ni dakika mbili tu bonyeza hapa
  HTML http://www.chatguest.com/index.php?action=refferals;refferedby=1
       Kwanza kabisa tunapenda tujadili kidogo kuhusu uchaguzi wa kozi
       za kusomea chuo kikuu. Wengi wetu tumekuwa tukisomea vitu
       ambavyo tukihitimu kozi hiyo tunajikuta hatuajiriwi na mbaya
       zaidi tunashindwa kujiajiri wenyewe kupitia elimu tulioipata.
       Orodha ya majina ya walicochaguliwa TCU kujiunga na vyuo vikuu
       2015/2016 ikitoka na ukajikuta umechaguliwa kujiunga na chuo
       kikuu basi mshukuru Mungu kisha jipange kwa mawili moja
       kujiajiri baada ya kumaliza chuo mbili ni kuajiriwa.Si jambo
       jipya kusikia wasomi wenye shahada au stashahada hawana kazi
       miaka hata kumi toka wamalize vyuo wapo mtaani hawajui wafanye
       nini ili kujikimu na maisha. Maandalizi mazuri yanaanza toka
       sasa katika kuchagua kozi ya kusomea. Mfano kama TCU imekupa
       vyuo viwili yaani chuo kimoja unatakiwa ukasomee ualimu na chuo
       kingine unatakiwa ukasomee sheria hapa kwa haraka haraka unaweza
       kuchagua kwenda kusomea sheria ukijidanganya kuwa baada ya
       kumaliza tu elimu yako utapata kazi na kuwa na maisha mazuri.
       Wrong choice katika uhalisia wa ajira kipindi hiki. Ungesomea
       ualimu pengine ungepata kazi mapema sana baada ya kumaliza elimu
       yako.
       Katika kuchagua nini cha kusomea chuo kikuu fanya utafiti mkubwa
       namna utakavyojiajiri au kuajiriwa baada ya kuhitimu mafunzo
       hayo vinginevyo utajuta kwanini ulienda kusomea kozi hiyo chuo
       kikuu. Hapa sina maana kuna baadhi ya kozi hazina soko lahasha
       kozi zote zina soko kulingana na aina ya mtu aliyesomea kozi
       hiyo. Kama wewe baba yako ana kampuni la utalii kwanini usiende
       kusomea utalii ili ukimaliza chuo ufanye kazi kwenye kampuni ya
       baba yako? Lakini mwenzangu ambaye baba yako ni mwalimu
       anakushauri ukasomee ualimu halafu wewe unasema "baba mimi
       sitaki ualimu kwakua haulipi" Kwanza ningekuwa na uwezo
       nigekutukana lakini siwezi kukutukana kwakua vyombo vya dola
       vitanishikilia kwa kukutukana. Hivi ualimu kama haulipi wewe
       ungesomeshwa na baba yako mpaka hapo ulipofika?.
       Twende kwenye maisha ya chuoni sasa. Hapa sasa kijana uliyetoka
       shule ukisimamiwa kwa kila kitu sasa unajisimamia mwenyewe.
       Kusoma unajiamlia mwenyewe usome au uende disko. Kula unaamua
       ule nini ule wapi na ule muda gani, Hata kulala unaweza kuamua
       ulale saa ngapi na ulale wapi hakuna atakayekuja na fimbo
       kukulazimisha kufanya kitu fulani kwa ajili ya manufaa yako sasa
       ukisema huu ndo muda wa kujiachia kwakua upo huru utapoteza dira
       ya maisha kabisa. Wapo wanaosema aaah mbona chuo kikuu simple tu
       si kama sekondari kupiga msuli mpaka mida ya usiku, Ule msuli
       uliotumia sekondari utumie chuo kikuu tena ikiwezekana ongeza
       lakini angalia usichanganyikiwe kwa kusoma.
       Kumbuka kujiunga na mtandao huu kwa kubonyeza hapa
  HTML http://www.chatguest.com/index.php?action=refferals;refferedby=1<br
       />ili uweze kufaidika na mengi pamoja na kutumiwa Taarifa kwenye
       email yako mara tu TCU itakapotoa orodha ya majina ya
       waliochaguliwa TCU kujiunga na vyuo vikuu 2015/2016
       #Post#: 2305--------------------------------------------------
       Re: Orodha ya majina ya waliochaguliwa TCU kujiunga na vyuo
       vikuu 2015/2016 imetoka?
   DIR By: MASINDE JUSTINE
       Date: September 29, 2015, 2:28 am
       ---------------------------------------------------------
       MAJINA LINI YA WALIOCHAGULIWA NA TCU KUJIUNGA NA VYUO VIKUU
       #Post#: 2313--------------------------------------------------
       Re: Orodha ya majina ya waliochaguliwa TCU kujiunga na vyuo
       vikuu 2015/2016 imetoka?
   DIR By: stakeholder
       Date: October 3, 2015, 12:07 am
       ---------------------------------------------------------
       Ukiona jina lako lipo kwenye link kati ya hizi unatakiwa kuaply
       upya second round reapplication kwenye tovuti ya tcu
       Majina A mpaka H angalia kwenye link hii
  HTML http://www.tcu.go.tz/images/pdf/Group%20(A_H).pdf
       Majina I mapaka L angalia kwenye link hii
  HTML http://www.tcu.go.tz/images/pdf/Group%20(I_L).pdf
       Majina M Mpaka N angalia kwenye link hii
  HTML http://www.tcu.go.tz/images/pdf/Group%20(M_N).pdf
       Majina O mpaka Z angaia kwenye link hii
  HTML http://www.tcu.go.tz/images/pdf/Gruop%20(O_Z).pdf
       Muhimu soma Tangazo lao Toka TCU kwenye link hii
  HTML http://www.tcu.go.tz/images/pdf/2nd%20round%20application%202015_Amended-.pdf
       Endelea kutumia mtandao wa chatguest kila siku ulipwe pesa kila
       unapocheza games na kushinda pia unalipwa kwa kila mtu
       utakayemwambia ajisajiri kwenye mtando huu wa kijamii na
       unalipwa kwa kila mada au makala utakayoiandika kwenye mtandao
       huu.
       *****************************************************
       Page 1 of 1