DIR Return Create A Forum - Home
---------------------------------------------------------
habari
HTML https://habari.createaforum.com
---------------------------------------------------------
*****************************************************
DIR Return to: Jukwaa la elimu Tanzania
*****************************************************
#Post#: 1551--------------------------------------------------
Andika chochote chenye manufaa kwa jamii ulipwe pesa chukua
fulsa hii
DIR By: stakeholder
Date: March 24, 2015, 7:35 am
---------------------------------------------------------
Ndugu msomaji wa mtandao huu wa chatguest tunatambua kazi ya
kuelimisha jamii kwa njia ya uandishi ndiyo maana tukaanzisha
mradi huu wenye manufaa kwa wote wenye uwezo wa kutumia
intaneti.
Siku zote umekuwa ukitumia mitandao ya kijamii bila kufaidika
kiuchumi yaani kupata pesa. Ila umekuwa ukitajirisha wamiliki wa
mitandao hiyo kila saa ukiwa mtandaoni. Basi mtandao wa
chatguest ni wa kipekee unalipwa kwa kila makala au mada
utakayoandika popote pale kwenye mtandao huu.
Vitu vya kuzingatia ili uweze kulipwa.
1. Usikopi habari toka blog nyingine andika makala au mada yako
mwenyewe
2. Jitahidi kundika makala utakayopata mashabiki wengi toka
facebook twitter google plus na sehemu nyingine mitandaoni
kadili unavyopata mashabiki wengi ndivyo unavyopata pesa nyingi.
3. Andika mada au makala yenye ukubwa wa kuanzia nusu ukurasa na
kuendelea ili mashabiki wako wakukubali kwa ulichowaandikia
Ushauri
Andika makala za kufundisha kufanya kitu fulani mfano jinsi ya
kufuga kuku wa kienyeji, makala za mapenzi, kilimo, uchumi,
burudani, michezo au chochote kile unachokijua kutokana na fani
yako
Malipo
Unalipwa kwa kila shabiki atakayeipenda makala yako
250tsh/shabiki na pesa zako utapokea kwa simu mpesa au tigo pesa
au airtel money au safaricom kwa wakazi wa kenya. Kiwango cha
chini cha kutumwa pesa ni utakapofikisha 50,000
Ukiwa na swali uliza hapa. Karibu utajirike
*****************************************************
Page 1 of 1