DIR Return Create A Forum - Home
---------------------------------------------------------
BongoTv
HTML https://bongotvuserforum.createaforum.com
---------------------------------------------------------
*****************************************************
DIR Return to: General Discussion
*****************************************************
#Post#: 2--------------------------------------------------
Jitathmini kwa njia hii kujua baada ya miaka 5 utakuwa wapi?
DIR By: admin
Date: April 11, 2016, 2:37 am
---------------------------------------------------------
Chukulia mfano huu kama ni uhalisia. " Kuna mashine mpya
imeguduliwa, inaitwa TIME MASHINE. Kazi ya mashine hiyo ni
kuwaonyeshesha watu maisha yao yatakavyo kuwa baada ya miaka 5
ijayo, Sasa fikiria kwamba wewe imekuwa moja ya watu
waliobahatika kujipenyeza na kupata nafasi ya kuingia katika
mashine hiyo kutazama maisha yao yatakavyokuwa baada ya miaka
mitano ijayo. NAOMBA UTUSHIRIKISHE MAMBO YAFUATAYO
1. UMEJIONA UNAISHI KWENYE NYUMBA YA NAMNA GANI?
2. UWEZO WAKO KIFEDHA UPOJE?
3. JE! UNAJIONA UMEOA?
4. JE! UMEJIONA UMETIMIZA MALENGO YAKO KWA KIASI GANI?
*****************************************************
Page 1 of 1